Psalms 54:1

Kuomba Ulinzi Wa Mungu Kutokana Na Adui

Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?”

1 aEe Mungu uniokoe kwa jina lako,
unifanyie hukumu kwa uwezo wako.
Copyright information for SwhNEN